- Willy Paul alidai kuoa wanawake warembo ni kama kukaribisha shinikizo maishani .Mashabiki wake walifurahia sana kauli yake na kumsifu Mwanamuziki mbishi Willy Paul kwa mara ya kwanza ameungwa mkono na mashabiki wake na Wakenya kwa ujumla baada ya kutoa ushauri kwa wanaume. Nyota huyo amekuwa akikosolewa mara kwa mara na mashabiki wake kwa kila hatua, ikiwemo ni pamoja na nyimbo anazotoa.
- Hata hivyo, Ijumaa, Septemba 21, katika akaunti yake ya Instagram alishauri wanaume dhidi ya kuoa wanawake warembo. Kulingana na nyota huyo, kuoa mwanamke mrembo ni kujiletea ‘stress’ badala ya furaha. Pozee, kama anavyojulikana na mashabiki wengi alidai kuwa watu na mashabiki wanaweza kukusifu kwa kuoa mwanamke mrembo lakini hawawezi kuelewa unachopitia kwa kumuoa. Kulingana naye, mwanamke mrembo huja na changamoto zake, ikiwemo ni pamoja na ‘kukatiwa’ na wanaume wengi kwa sababu ya urembo wake.
- ''Ukioa mwanamke mrembo utasifiwa na marafiki, lakini utalia kila usiku nyumbani mwako,” aliandika katika akaunti yake ya Instagram. Kauli yake ilishangiliwa na maelfu ya mashabili ambao walimsifu kwa kuongea kitu kinachoweza kueleweka. Lakini wengi hawakushangaa kwa sababu siku hizi, nyota huyo amekuwa akishauri Wakristo vizuri. jeffawala@gmail.com
- jeffawalamusic.blogspot.com
I think of myself as a hard-working person but at the same time I like to enjoy the life i live i consider myself ambitious with the work; I always have a new goal to achieve. To some extent, you never stop learning so everyone should be ambitious about work. i take music as a big part of our lives and music can help us to pass the time or to connect us to our roots for me listening to music takes the whole brain and has positive and beneficial effect.
Monday, September 24, 2018
Mwanamuziki mbishi Willy Paul awashauri wanaume dhidi ya kuoa wanawake warembo.by jeff awala
Diamond's ex-lover Jokate Mwegelo gives generous donation to help MV Nyerere ferry tragedy victims.by jeff awala
- Jokate donated TSh 1 million, equivalent to about KSh 50,000- She promise to contribute more money soon following the ferry tragedy- The lass used the opportunity to send her condolences to the victims' familiesDiamond Platinumz's ex-lover Jokate Mwegelo, who at one time also dated Ali Kiba, has made a handsome contribution to help victims of the MV Nyerere tragedy.Jokate, recently nominated as Kisarawe District Commissioner, donated TSh 1 million which is equivalent to about KSh 50,000 on Saturday, September 22, to cater for a few things needed by victims who survived the tragic ferry accident, including treatment.
- https://www.instagram.com/p/BoCBu_bgRI8/?utm_source=ig_embed
- The lass who joined thousands of Tanzanians in Mwanza Province to mourn the loss of 209 people reported dead so far, said she would make other donations soon.Jokate also used the opportunity to send her condolences to the victims' families.The Kisarawe DC was speaking in a short interview with Tanzanian journalists.
- Jokate was forced to cancel a fundraising to boost her Tokomeza Zero campaign scheduled for Saturday so she could join her countrymen in mourning.jeffawalamusic.blogspot.com
I am ready to bewitch Diamond so he can give me a baby - Bongo movie actress Lulu.by jeff awala
- Lulu said she has been dreaming of having children with Diamond for ages.
The lass claimed she was ready to hire a witch-doctor to help her achieve her dream.
Her 'threat' came just days after it was alleged Hamisa Mobetto had gone to a witch-doctor to make Diamond love her more.
Hot Tanzanian actress, Lulu Semagongo popularly known as Aunty Lulu, has publicly claimed she is ready to do just about anything to get pregnant by music star Diamond Platinumz.
The actress shook everyone when she revealed she has always dreamt of being Diamond's lover and make children with him, a goal she is willing to 'die' for.
Speaking in an interview with Tanzania's MotoMoto News, Lulu said she would go to a witch-doctor and bewitch the singer so he can impregnate her if need be.
- According to the actress, she would ask the witch-doctor to make Diamond forget using protection while copulating with her, a situation that could lead to her conceiving.
ZARI’S REPLY TO DIAMOND PLATNUMZ’S BIRTHDAY MESSAGE by jeff awala
- Tanzanian singer Diamond Platinumz on Saturday wished his baby mama Zari Hassan a happy birthday.He sweetly addressed her as “the Mother of my Beloved kids”.And to everyone’s surprise, Zari replied with a thank you comment.
- Diamond wrote how he respects Zari; “Trust me, no matter how crazy & a proud man you think i might be, but am always grateful and i do respect you for that…thats why, you’ve never heard or saw me on any interview talking anything about you….not even talking about my side point of what happened to us!!”He added that Zari ‘means more’ to him than his blood brother or sister.Zari commented to the hearty message with one word and a rose emoji writing, “Sante.”Her fans lauded her maturity while replying to her comment.Kerubolynn wrote; “Lady your level of maturity and class is to be admired..Be blessed Zari.”Allglowy stated; “Strong woman. Like hapa kama unamuelewa huyu dada.”Hansplatinumz added; “wachaweee nasemaje mama tee wanyoshe mpaka washindwe kwenda chooni.”
Subscribe to:
Posts (Atom)