Msanii wa Muziki wa Bongo fleva Aslay Isihaka amefunguka na kuweka wazi kuwa ana mpango wa kumshika mkono na kumsaidia Msanii mwenzake kutoka Yamoto Band Enock Bella.
Aslay alikuwa mmoja wa wasanii waliounda kundi la Yamoto Band lakini baada ya kundi hilo kuvunjika miaka michache iliyopita kila msanii alishika njia yake.
Baada ya kila msanii kuendelea na kazi zake binafsi Aslay alionekana kupata mafanikio makubwa zaidi lakini pamoja na Beka Flavor ambaye pia amekuwa anafanya vyema na Mbosso aliyesainiwa WCB amekuwa anafanya vizuri pia.
Lakini Enock Bella aliyekuwa maarufu kwa kuimba bezi kwenye Yamoto amekuwa akisuasua tofauti kabisa na wenzake kwani ameshatoa nyimbo kadhaa ambazo hazijafanya vizuri kabisa.
Kwenye mahojiano na kipindi cha Kikaangoni cha EATV, Aslay amefunguka na kukiri kuwa kuna jitihada anafanya kwa ajili ya kumsaidia msanii mwenzake Ikiwa ni pamoja na kolabo hivi karibuni:
Enock Bella alitangaza kusainiwa kwenye label iliyopo nchini Uganda mwaka jana mwishoni lakini baada ya muda mfupi akatangaza kujitoa.
in Entertainment
ASLAY NEWS
ENOCK BELLA NEWS
Ndio Enock Bella yupo na ninaongea naye na pia Bado Yupo Kwenye grupu moja kwaiyo bado tuna ukaribu na kuna jitihada tunafanya kwaiyo inshallah siku is nyingi mashabiki wataona kitu kutoka kwetu ingawa siwezi nikakiongelea sana”.
I think of myself as a hard-working person but at the same time I like to enjoy the life i live i consider myself ambitious with the work; I always have a new goal to achieve. To some extent, you never stop learning so everyone should be ambitious about work. i take music as a big part of our lives and music can help us to pass the time or to connect us to our roots for me listening to music takes the whole brain and has positive and beneficial effect.
Monday, July 30, 2018
Aslay Kumsaidia Enock Bella Kimuziki Kwa Kolabo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
Una taarifa motomoto au sakata ambayo ungependa jeffawalamusic.blogspot.com nichapishe? Wasiliana nami kwa jeffawalamusic.blogspot.com, jeffawala@gmail.com , kwenye nambari: 0723410366 na kwenye facebook: jeff platnezz..
Do you have a hot story or scandal you would like me to publish, please reach me through jeffawala@gmail.com or telephone: 0723410366 and facebook: jeff platnezz jeffawalamusic.blogspot.com